2013-09-25

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa kufungua ofisi jijini Mwanza kwa kuwa hatua hiyo itaharakisha maendeleo ya sekta ya utalii mkoani Mwanza na Kanda ya ziwa na amewataka wananchi wa Mwanza kukuza utalii wa ndani kwa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo Mwanza, Kanda ya ziwa na Tanzania kwa ujumla na kuondokana na dhana kuwa utalii ni kwa ajili ya wazungu tu.   Bofya hapa kuapata habari zaidi.

 

 

 

 

 

Show more