2016-09-19



Lyrics Of Salome By Diamond Platnumz Ft. Rayvanny

DOWNLOAD AUDIO HERE

[Verse – 1]

Kioo akidanganyi mama

umejipodoa umepodoka

Mwendo na shepu vyote mwanana

Mimi suruari yanidondoka

Tukimbizane nini salome wangu?

Iyo michezo ya jogoo

Mbona watizama chini salome wangu

Ukimuona jongoo

Inama kidogo shika magoti

Nimesimama kama ngongoti

Mtoto jojo sio roboti

Chumbani bingili bingili sambasoti

[Chorus]

Unanitekenyaga ukinyonga salome

Unanitekenyaga ukinyonga

Unatikenyaga ukinyonga kweli

Unanitekenyaga ukinyonga Aaaha!

Hoera makulu vane, hoera ngambe

Hoera na Zari, hoera ngambe

[Verse – 2]

Utamu kolea aprokoto

Ting’ari ting’ari ndani kwa moto

Nitamnyongea msokoto

Niteme sumu kali kama koboko

Eeeh Mapenzi yananipa shida

Shida maama ni donda lisilokuwa na tiba

Tiba bwana usije baby kanicharanga

Kanichambua moyo kama karanga

Mie baby kwenye msambwanda, huwa siendagi

ngenge ni nganganga.

[Chorus]

Unanitekenyaga ukinyonga salome

Unanitekenyaga ukinyonga

Unatikenyaga ukinyonga kweli

Unanitekenyaga ukinyonga Aaaha!

Hoera makulu vane, hoera ngambe

Hoera na Zari, hoera ngambe

The Post LYRICS: Diamond Platnumz – Salome Ft. Raymond Rayvanny Appeared First On NaijaExtra.Com

Show more