2014-11-11

 Secretary, Admin Support III( x 3)
Location > Morogoro

(NGAZI YA MSHAHARA TGS B,)

Sifa za Mwombaji
Kuajiriwa waliohitimu Kidato cha Nne N{VI
waliohudhuria Mafunzo ya Uhazili na kufaulu
Mtihani wa hatua ya tatu.
Awe wamefaulu Hatimkato ya Kiswahili na
Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja.
Awe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka Chuo
chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata
Cheti katika Programu za Window, Microsoft Office,
Internet, E-Mail na Publisher.

Kazi za Katibu Mahsusi Daraja III
(i) Kuchapa barua, Taarifa na Nyaraka za kawaida
(ii) Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida
zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza
kushughulikiwa.
(iii) Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio,
miadi, wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu
wake na ratiba ya kazi nyingine zilizopangwa
kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi, na
kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
(iv) Kusaidia kutafuta na kumpa Mkuu wake majalada,
nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika
shughuli za kazi hapo ofisini.
(v) Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa
kazi kwa Wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu
taarifa zozote anazokuwa na wasaidizi hao.
(vi) Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maafisa
walio katika sehemu alipo, na kuyakusanya,
kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.
(vii) Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa
na msimamizi wake wa kaz

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Mwombaji awe amepata mafunzo ya Kompyuta
kutoka Chuo kinachotambullwa na Serikali na
kupata Cheti katika Programu za Windows, Micro
soft Office, Internet, E-Mail, Publisher na Power
Point kwa Makatibu Mahususi na Wasaidizl wa
Kumbukumbu.
Awe na Umrl kati ya mlaka 18 - 45
Ajue Kusoma, Kuandika na Kuongea kwa ufasaha
lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
Muombajl aambatanlshe nakala ya Oleti cha
Kidato cha Nne N/VI, Chetl cha Mafunzo husika,
pamoja na barua ya maombi.
(il) Maombl vote yaambatane na Vyeti vya Taaluma,
maelezo binafsi (CV), nakala za Vyetl vya Kldato
cha Nne na Kidato cha Sita kwa wale waliotika
kiwango hicho, vyeti vya kumaliza masomo
(Uving Certiticate) na Vyeti vya kuhitimu mafunzo
mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
(iii) Waombaji wote waambatanishe nakala ya Oleti
cha kuzallwa.
(iv) Waombaji waambatanishe picha moja Passport
size iandikwe jina nyuma ibandikwe kwenye barua
ya maombl.
(v) Hati ya matokeo ya Kldato cha NNe na Sita
(Statement of result) HAVlTAKUBAUKA. .
(iv) Waombajl kazi ambao tayari ni waajirlwa katlka
nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa
Umma wasiombe hii ni kwa mujibu wa waraka wa
Katibu Mkuu Utumishi CAC.45/257/01/D/140 wa
tarehe 30 Novemba, 2010

Mkurugenzi wa Manispaa,
S.L.P 166,
Morogoro

Philemon M. Magesa,
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa,
Morogoro

Record Management Assistant II ( X 5)
Location > Morogoro

(NGAZI YA MSHAHARA TGS B,)
Sifa za Mwombaji
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato chaiIV/VI wenye cheti cha utunzaji kumbukumbu katika mojawapo
ya fani za Afya, Masijala, mahakama na Ardhi

Kazi na Majukumu ya Msaidizi wa
Kumbukumbu Daraja II
(i) Kutafuta kumbukumbu/Nyaraka/Mafaili yanayohitajiwa na wasomaji
(ii) Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa kumbukumbu/ Nyaraka
(iii) Kuchambua, kuorodhesha na kupanga kumbukumbu/Nyaraka katika makundi kulingana
na somo husika( classification and boxing) kwa ajili ya matumizi ya Ofisi.
(iv) Kuweka/Kupanga kumbukumbu/Nyaraka katika reki {file ranks/cabinet katika Masijala/Vyumba vya

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Mwombaji awe amepata mafunzo ya Kompyuta kutoka Chuo kinachotambullwa na Serikali na
kupata Cheti katika Programu za Windows, Micro soft Office, Internet, E-Mail, Publisher na Power Point kwa Makatibu Mahususi na Wasaidizl wa Kumbukumbu.
Awe na Umrl kati ya mlaka 18 - 45
Ajue Kusoma, Kuandika na Kuongea kwa ufasaha
lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
Muombajl aambatanishe nakala ya Cheti cha Kidato cha Nne N/VI, Cheti cha Mafunzo husika, pamoja na barua ya maombi.
(ii) Maombl vote yaambatane na Vyeti vya Taaluma, maelezo binafsi (CV), nakala za Vyetl vya Kldato cha Nne na Kidato cha Sita kwa wale waliotika kiwango hicho, vyeti vya kumaliza masomo
(Uving Certiticate) na Vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
(iii) Waombaji wote waambatanishe nakala ya Cheti cha kuzaliwa.
(iv) Waombaji waambatanishe picha moja Passport
size iandikwe jina nyuma ibandikwe kwenye barua
ya maombl.
(v) Hati ya matokeo ya Kldato cha NNe na Sita
(Statement of result) HAVlTAKUBAUKA. .
(iv) Waombajl kazi ambao tayari ni waajirlwa katlka
nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa
Umma wasiombe hii ni kwa mujibu wa waraka wa
Katibu Mkuu Utumishi CAC.45/257/01/D/140 wa
tarehe 30 Novemba, 2010.
(vi) Mwisho wa kupokea maombi haya ni tarehe
(vii) Maombi haya yatumwe kwa:-

Mkurugenzi wa Manispaa,
S.L.P 166,
Morogoro

Mtendaji wa Mtaa III( X 20)
Location > Morogoro

(NGAZI YA MSHAHARA TGS B,)

Sifa za Mwombaji
Kuajiriwa mwenye Elimu ya Kidato cha nne (iv) au Sita (vi)
Aliyehitimu mafunzo ya Asta:shahada/Cheti katika moja ya rnoja ya fani zifuatazo:- Utawala, Sheria,
Elimu ya jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi na Sanaa kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Kazi na Majukumu ya Mtendaji wa Mtaa
Daraja la III
(i) Atakuwa katibu wa Kamati ya Mtaa
(ii) Mtendaji Mkuu wa shughuli za Mtaa
(iii). Mratibu wa utekelezaji wa sera na sheria zinazotekelezwa na Halmashauri katika Mtaa
(iv) Mshauri wa kamati ya Mtaa kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama
(v) Mshauri wa Kamati ya mtaa kuhusu mipango ya maendeleo katika Mtaa
(vi) Msimamizi wa utekelezaji wa sheria ndogondogo pamoja na sheria nyingine zinazotumika katika Mtaa
(vii) Msimamizi wa utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu uondoaji wa njaa na umasikini katika Mtaa
(viii) Kusirnamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi
wote
(xi) Kuandaa na kutunza rejesta ya wakazi wote wa
Mtaa
(x) Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata
(xi) Atafanya kazi nyingine atakazopangiwa na
msimamizi wake.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Mwombaji awe amepata mafunzo ya Kompyuta kutoka Chuo kinachotambullwa na Serikali na
kupata Cheti katika Programu za Windows, Micro soft Office, Internet, E-Mail, Publisher na Power Point kwa Makatibu Mahususi na Wasaidizi wa Kumbukumbu.
Awe na Umrl kati ya mlaka 18 - 45
Ajue Kusoma, Kuandika na Kuongea kwa ufasaha lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
Muombajl aambatanlshe nakala ya cheti cha Kidato cha Nne N/VI, Chetl cha Mafunzo husika,
pamoja na barua ya maombi.
(il) Maombl vote yaambatane na Vyeti vya Taaluma, maelezo binafsi (CV), nakala za Vyetl vya Kldato cha Nne na Kidato cha Sita kwa wale waliotika kiwango hicho, vyeti vya kumaliza masomo (Uving Certiticate) na Vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
(iii) Waombaji wote waambatanishe nakala ya Oleti cha kuzaliwa.
(iv) Waombaji waambatanishe picha moja Passport
size iandikwe jina nyuma ibandikwe kwenye barua ya maombi.
(v) Hati ya matokeo ya Kldato cha NNe na Sita (Statement of result) HAVlTAKUBAUKA. .
(iv) Waombajl kazi ambao tayari ni waajirlwa katlka nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa
Umma wasiombe hii ni kwa mujibu wa waraka wa Katibu Mkuu Utumishi CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

Maombi haya yatumwe kwa:-
Mkurugenzi wa Manispaa,
S.L.P 166,
Morogoro

Askari Wasaidizi/Auxiuary Policy (x 5)
Location > Morogoro

(NGAZI YA MSHAHARA) =PPFW 1

Sifa za Mwombaji
Kuajiriwa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga
Taifa , Mgambo na waliofuzu mafunzo kutoka Chuo cha Polisi wenye cheti cha Kidato cha Nne N/VI
Asiwe ametuhumiwa na makosa ya jinai na kutiwa hatiani
Awe na mwenendo bora na tabia njema

Majukumu/kazi
Kuhakikisha kwamba mali yote inayotolewa langoni
(nje ya ofisi) ina hati ya idhini.
Kuhakikisha kuwa mall vote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.
Kulinda usalarna wa majengo, otisi na mali za ofisi mchana na usiku.
Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungawa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.
Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo.
Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile, moto, mafuriko
n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, Polisi na Zimamoto.
Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahala pa kazi.
Kusaidla kuondoa wafanyabiashara wanaopanga bidhaa barabarani.
Kutunza usafi wa mji kwa kuhakikisha watu hawatupi ovyo taka, hawapangi biashara maeneo
ambayo hayaruhuslwi.
Kusimamia operation mbalimball zinazoendeshwa na Manispaa kwa mujlbu wa sheria za Mipango miji
na Usafi wa Mazingira
Kusimamia ulinzi na Usalama wa mali na rasilimali nyingine za Manispaa

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Mwombaji awe amepata mafunzo ya Kompyuta kutoka Chuo kinachotambuilwa na Serikali na
kupata Cheti katika Programu za Windows, Micro soft Office, Internet, E-Mail, Publisher na Power Point kwa Makatibu Mahususi na Wasaidizi wa Kumbukumbu.
Awe na Umrl kati ya mlaka 18 - 45
Ajue Kusoma, Kuandika na Kuongea kwa ufasaha lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
Muombajl aambatanlshe nakala ya cheti cha Kidato cha Nne IV/VI, Chetl cha Mafunzo husika,
pamoja na barua ya maombi.
MaombI Yote yaambatane na Vyeti vya Taaluma, maelezo binafsi (CV), nakala za Vyetl vya Kldato cha Nne na Kidato cha Sita kwa wale waliotika kiwango hicho, vyeti vya kumaliza masomo (Uving Certiticate) na Vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
Waombaji wote waambatanishe nakala ya Cheti cha kuzallwa.
Waombaji waambatanishe picha moja Passport size iandikwe jina nyuma ibandikwe kwenye barua
ya maombi.
Hati ya matokeo ya Kldato cha NNe na Sita (Statement of result) HAVlTAKUBAUKA. .
Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa
Umma wasiombe hii ni kwa mujibu wa waraka wa Katibu Mkuu Utumishi CAC.45/257/01/D/140 wa
tarehe 30 Novemba, 2010.
Maombi haya yatumwe kwa:-
Mkurugenzi wa Manispaa,
S.L.P 166,
Morogoro

Show more